Friday, March 07, 2014

dunia imeponea chupuchupu kwa asteroid (kiswahili ?) kupita karibu

kwa sasa nita tafsiri asteroid kuwa jiwe kubwa.

jiwe kubwa (linaitwa 2014 dx110) limepita karibu kabisa na dunia umbali mfupi kidogo kulinganisha na umbali ambapo mwezi upo. jiwe hilo limepita karibu na dunia umbali wa kilometa 350,000 kwa spidi ya zaidi kilometa 53,000 kwa saa. spidi hii ni sawasawa na mara 300 ya spidi ya gari linalo endeshwa kwa spidi ya kilometa 180 kwa saa. kama jiwe hili lingeigonga dunia (kuanguka duniani) lingetengeneza shimo lenye kipenyo cha mita 600. jiwe hilo linaukubwa wa kipenyo mita 30. mwezi uko umbali wa kilometa 384,400 kutoka duniani. matukio ya mawe haya yataendelea kutoke mpaka machi 16. hivyo angalia anga kwa mawe mengine wakati wowote ikiwezekana andika urithi mapema.

soma zaidi kupitia viunganishi hivi

http://rt.com/news/asteroid-flyby-earth-moon-783/

http://www.dailymail.co.uk/sciencetech/article-2572908/Asteroid-race-past-Earth-tomorrow-YOU-watch-live-online.html

http://metro.co.uk/2014/03/05/dont-panic-but-theres-a-massive-asteroid-passing-between-the-earth-and-the-moon-tonight-4426627/

No comments: