
kwa wale wapenzi wa muvi bernie mac amefariki jumamosi asubuhi ya tarehe 9/8/08 akiwa na miaka 50. amecheza kwenye sinema inayoitwa "ocean's eleven" n.k.. alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa kwa kitaalamu unaitwa sarcoidosis (
http://en.wikipedia.org/wiki/Sarcoidosis).
soma zaidi:
http://news.yahoo.com/s/ap/20080809/ap_on_en_tv/obit_bernie_mac
No comments:
Post a Comment