Thursday, June 26, 2008

tunasubiri fainali tu sasa !!!!!!!!


nyiieeeee (waturuki) hamtuweziiiiii

hata hawa walikuwepo pia kuwashangilia wajerumani

hata mama alikuwepo kushuhudia kabumbu.

ushabiki wa mpira mpaka kwenye karatasi za chooni.




No comments: